MOOYAM RETINOL FACE CREAM 50g
(2.5% Retinol + Hyaluronic Acid – 50g)
? BEI: TZS 30,000
✨ Punguza mikunjo, mabaka na ukavu wa ngozi – rudisha mwonekano wa ujana!
Faida za bidhaa
✓ Kupunguza mikunjo na mistari ya uso
✓ Kuboresha ngozi iliyochoka na kuzeeka
✓ Kupunguza mabaka meusi & makovu madogo
✓ Kuongeza unyevu na kuacha ngozi laini
✓ Kutoa mwanga wa asili (glow)
Jinsi ya Kutumia
Pakaa usiku kwenye uso ulio safi
Tumia mara 3–4 kwa wiki mwanzoni
Epuka jua bila sunscreen
Tumia kiasi kidogo kwenye maeneo yenye mikunjo au mabaka
| Aina ya Tangazo | Biashara |
| Brand | MOOYAM |
| Bei iliyowekwa | Fixed |
| Gharama ya Usafirishaji |
|
| Usafirishaji | 1-3 days |
| Mahali pa Bidhaa | Mnazi mmoja 255, Dar es Salaam, Tanzania |
Hakuna Tathmini iliopatikana!
English
Kiswahili
Hakuna maoni yaliyopatikana kwa bidhaa hii. Kuwa wa kwanza kutoa maoni!